Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Afflictions: God appoints

6 mistari · 21 vipengele

Mistari kuhusu God appoints

  1. Alipokuwa angali bado anazungumza nao, mjumbe akamfikia. Naye mfalme akasema, “Maafa haya yanatoka kwa Bwana. Kwa nini niendelee kumngoja Bwana zaidi?”

  2. Kwa maana taabu haioti kutoka kwenye udongo, wala udhia hauchipui kutoka ardhini.

  3. “Heri mtu yule ambaye Mungu humrudi; kwa hiyo usidharau adhabu yake Mwenyezi.

  4. Umetuingiza kwenye nyavu na umetubebesha mizigo mizito migongoni mwetu.

  5. Je, tarumbeta inapopigwa mjini kujulisha hatari, watu hawatetemeki? Mji upatwapo na maafa, je, si Bwana amesababisha?

  6. Sikiliza! Bwana anauita mji: kulicha jina lako ni hekima: “Tii hiyo fimbo na yeye aliyeiamuru.