Mistari ya Biblia kuhusu Afflictions: Man is born to
Mistari kuhusu Man is born to
Kwa maana taabu haioti kutoka kwenye udongo, wala udhia hauchipui kutoka ardhini.
Lakini mwanadamu huzaliwa ili kutaabika, kwa hakika kama cheche za moto zirukavyo kuelekea juu.
“Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake ni chache nazo zimejaa taabu.