God
Mistari inayomtaja God
Kwa maana hapendi kuwaletea mateso au huzuni watoto wa wanadamu.
Kuwaponda chini ya nyayo wafungwa wote katika nchi,
Kumnyima mtu haki zake mbele za Aliye Juu Sana,
kumnyima mtu haki: Je, Bwana asione mambo kama haya?
Nani awezaye kusema nalo likatendeka kama Bwana hajaamuru?
Je, si ni kwenye kinywa cha Aliye Juu Sana ndiko yatokako maafa na mambo mema?
Tuzichunguze njia zetu na kuzijaribu, na tumrudie Bwana Mungu.
Tuinue mioyo yetu pamoja na mikono yetu kwa Mungu mbinguni, na tuseme:
“Tumetenda dhambi na kuasi nawe hujasamehe.
“Umejifunika mwenyewe kwa hasira na kutufuatilia; umetuchinja bila huruma.
Unajifunika mwenyewe kwa wingu, ili pasiwe na ombi litakaloweza kupenya.
hadi Bwana atazame chini kutoka mbinguni na kuona.
Nililiitia jina lako, Ee Bwana, kutoka vina vya shimo.
Ulisikia ombi langu: “Usikizibie masikio yako kilio changu nikuombapo msaada.”
Ulikuja karibu nilipokuita, nawe ukasema, “Usiogope.”
Ee Bwana, ulichukua shauri langu, ukaukomboa uhai wangu.
Umeona, Ee Bwana, ubaya niliotendewa. Tetea shauri langu!
Ee Bwana, umesikia matukano yao, mashauri yao yote mabaya dhidi yangu:
Uwalipe kile wanachostahili, Ee Bwana, kwa yale ambayo mikono yao imetenda.
Weka pazia juu ya mioyo yao, laana yako na iwe juu yao!
Wafuatilie katika hasira na uwaangamize kutoka chini ya mbingu za Bwana.
Bwana ametoa nafasi kamilifu ya ghadhabu yake; ameimwaga hasira yake kali. Amewasha moto katika Sayuni ambao umeteketeza misingi yake.
Bwana mwenyewe amewatawanya; hawaangalii tena. Makuhani hawaonyeshwi heshima, wazee hawakubaliki.
Mpakwa mafuta wa Bwana, pumzi ya uhai wetu hasa, alinaswa katika mitego yao. Tulifikiri kwamba chini ya kivuli chake tungeliweza kuishi miongoni mwa mataifa.
Ee Binti Sayuni, adhabu yako itaisha, hatarefusha muda wako wa kukaa uhamishoni. Lakini, ee Binti Edomu, ataadhibu dhambi yako, na atafunua uovu wako.