Rukia maudhui
Zaburi 29:10-11

Utawala wa Milele na Baraka za Mungu

Zaburi 29:10-11
10
Bwana huketi akiwa ametawazwa juu ya gharika; Bwana ametawazwa kuwa Mfalme milele.
11
Bwana huwapa watu wake nguvu; Bwana huwabariki watu wake kwa kuwapa amani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options