- English
- King James KJV
- Complete Jewish CJB
- World English WEBM
- Berean Standard BSB
- American Standard ASV
- Geneva GNV
- Young's Literal YLT
- Douay-Rheims DRC
- International
- Shqip ALB
- العربية SVD
- বাংলা BN-IRV
- မြန်မာ Judson
- 简体文 CUV-S
- 繁體中文 CUV-T
- Čeština BKR
- Nederlands STVE
- Français LSG
- Deutsch SCH
- Ελληνικά Vamvas
- ગુજરાતી GU-IRV
- Hausa HCB
- עברית Hebrew
- हिन्दी HCV
- Magyar KAROLI
- Bahasa Indonesia INDO-TB
- Italiano Diodati
- 日本語 Kougo
- 한국어 Korean
- മലയാളം MAL
- मराठी MRCV
- Norsk DNB
- فارسی OPV
- Polski BG
- Português Almeida
- Română Cornilescu
- Русский Synodal
- Español RVG
- Kiswahili Neno
- Svenska SV1917
- Tagalog TAG-ADB
- தமிழ் TCV
- తెలుగు TSA
- ภาษาไทย THAI-KJV
- Українська Ohienko
- Tiếng Việt CADMAN
- Yorùbá YCB
Nidhamu ya Mateso
Maombolezo 3:27-39
27
Ni vyema mtu kuchukua nira bado angali kijana.
28
Na akae peke yake awe kimya, kwa maana Bwana ameiweka juu yake.
29
Na azike uso wake mavumbini bado panawezekana kuwa na matumaini.
30
Na atoe shavu lake kwa yule ampigaye, na ajazwe na aibu.
31
Kwa kuwa watu hawakatiliwi mbali na Bwana milele.
32
Ingawa huleta huzuni, ataonyesha huruma, kwa kuwa upendo wake usiokoma ni mkuu.
33
Kwa maana hapendi kuwaletea mateso au huzuni watoto wa wanadamu.
34
Kuwaponda chini ya nyayo wafungwa wote katika nchi,
35
Kumnyima mtu haki zake mbele za Aliye Juu Sana,
36
kumnyima mtu haki: Je, Bwana asione mambo kama haya?
37
Nani awezaye kusema nalo likatendeka kama Bwana hajaamuru?
38
Je, si ni kwenye kinywa cha Aliye Juu Sana ndiko yatokako maafa na mambo mema?
39
Mwanadamu yeyote aliye hai aweza kulalamika wakati anapoadhibiwa kwa ajili ya dhambi zake?
Settings