Ugrás a tartalomhoz
Mwanzo 10:6

Mwanzo 10:6

Inaonyesha mstari 6 pamoja na muktadha unaouzunguka.
3
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
4
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
5
(Kutokana na hawa mataifa ya Pwani yalienea katika nchi zao, kwa koo zao katika mataifa yao, kila moja kwa lugha yake.)
6
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
7
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
8
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa duniani.
9
Alikuwa mwindaji hodari mbele za Bwana. Ndiyo sababu watu husema, “Kama Nimrodi, hodari wa kuwinda mbele za Bwana.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options