Skip to content
Mwanzo 10:2-5

Mwanzo 10:2-5

2
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
3
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
4
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
5
(Kutokana na hawa mataifa ya Pwani yalienea katika nchi zao, kwa koo zao katika mataifa yao, kila moja kwa lugha yake.)
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options