Skip to content
Mwanzo 10:1

Mwanzo 10:1

Inaonyesha mstari 1 pamoja na muktadha unaouzunguka.
1
Hawa ndio wazao wa Noa: Shemu, Hamu na Yafethi, ambao walizaa wana baada ya gharika.
2
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
3
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
4
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options