Skip to content
Mwanzo 10:21-31

Mwanzo 10:21-31

21
Shemu ambaye ni ndugu mkubwa wa Yafethi, kwake kulizaliwa wana pia. Shemu alikuwa baba wa wana wote wa Eberi.
22
Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.
23
Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
24
Arfaksadi alikuwa baba wa Shela, naye Shela akamzaa Eberi.
25
Eberi akapata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake ndipo dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
26
Yoktani alikuwa baba wa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
27
Hadoramu, Uzali, Dikla,
28
Obali, Abimaeli, Sheba,
29
Ofiri, Havila na Yobabu. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
30
Nchi waliyoishi ilienea toka Mesha kuelekea Sefari kwenye nchi ya vilima iliyoko mashariki.
31
Hao ndio wana wa Shemu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options