Mistari ya Biblia kuhusu Watchfulness: Exhortations to
Mistari kuhusu Exhortations to
Kwa hiyo basi, tusilale kama watu wengine walalavyo, bali tukeshe na kuwa na kiasi.
Mwisho wa mambo yote umekaribia. Kwa hiyo kuweni na akili tulivu na kiasi, mkikesha katika kuomba.