Mistari ya Biblia kuhusu Watchfulness: Uncertain time of the coming of Christ
Mistari kuhusu Uncertain time of the coming of Christ
“Basi kesheni, kwa sababu hamjui ni siku gani atakapokuja Bwana wenu.
“Kwa hiyo kesheni, kwa sababu hamjui siku wala saa.
“Basi kesheni kwa sababu hamjui ni lini mwenye nyumba atakaporudi: iwapo ni jioni, au ni usiku wa manane, au alfajiri awikapo jogoo, au mapambazuko.
Kama akija ghafula, asije akawakuta mmelala.