Mistari ya Biblia kuhusu Towers: Thebez
Mistari kuhusu Thebez
Baadaye Abimeleki akaenda Thebesi na kuuzingira kwa jeshi na kuuteka.
Hata hivyo, ndani ya huo mji kulikuwa na mnara imara, ambako watu wote wa mji wanaume na wanawake, watu wote wa mji, walikimbilia ndani yake. Wakajifungia ndani yake na kupanda juu ya paa la mnara.