Skip to content

Shechem

3 verses

32.2100, 35.2800 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Shechem

  1. Kwa kusikia jambo hili watu wote katika mnara wa Shekemu, wakaingia kwenye ngome ya hekalu la El-Berithi.

  2. Abimeleki aliposikia kuwa wamekusanyika huko,

  3. Basi watu wote wakakata matawi na kumfuata Abimeleki. Wakayakusanya hayo matawi juu ya ngome na kuitia moto ili kuwachoma wale watu wote waliokuwa ndani yake. Hivyo watu wote katika mnara wa Shekemu, karibia watu 1,000 waume kwa wake, pia wakafa.