Mistari ya Biblia kuhusu Titles and Names of the Church: Inheritance
Mistari kuhusu Inheritance
Waokoe watu wako na uubariki urithi wako; uwe mchungaji wao na uwabebe milele.
Bwana Mwenye Nguvu Zote atawabariki, akisema, “Baraka iwe kwa Misri watu wangu, kwa Ashuru kazi ya mikono yangu, na kwa Israeli urithi wangu.”