Mistari ya Biblia kuhusu Titles and Names of the Church: Mount Zion
Mistari kuhusu Mount Zion
“Nimemtawaza Mfalme wangu juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
Lakini ninyi mmekuja Mlima Sayuni, Yerusalemu ya mbinguni, mji wa Mungu aliye hai. Mmekuja penye kusanyiko kubwa la malaika maelfu kwa maelfu wasiohesabika wanaoshangilia,