Mistari ya Biblia kuhusu The Righteousness of God: Ascribe, to him
Mistari kuhusu Ascribe, to him
Ninayapata maarifa yangu kutoka mbali, nami nitamhesabia haki Muumba wangu.
“Bwana, wewe ni mwenye haki, lakini siku hii ya leo tumefunikwa na aibu: tukiwa wanaume wa Yuda, na watu wa Yerusalemu, na Israeli yote, wote walio karibu na walio mbali, katika nchi zote ulikotutawanya kwa sababu ya kukosa uaminifu kwako.