Mistari ya Biblia kuhusu The Righteousness of God: His judgments
Mistari kuhusu His judgments
Kumcha Bwana ni utakatifu, nako kwadumu milele. Amri za Bwana ni za hakika, nazo zina haki.
Nitakusifu kwa moyo mnyofu ninapojifunza sheria zako za haki.
Usiku wa manane ninaamka kukushukuru kwa sababu ya sheria zako za haki.