Mistari ya Biblia kuhusu The Moon: To rule the night
Mistari kuhusu To rule the night
Mungu akafanya mianga miwili mikubwa: mwanga mkubwa utawale mchana, na mwanga mdogo utawale usiku. Pia Mungu akafanya nyota.
Mwezi na nyota vitawale usiku, Fadhili zake zadumu milele.