Mistari ya Biblia kuhusu The Moon: For signs and seasons
Mistari kuhusu For signs and seasons
Mungu akasema, “Iwepo mianga kwenye nafasi ya anga ili itenganishe usiku na mchana, nayo iwe alama ya kutambulisha majira mbalimbali, siku na miaka,
Mwezi hugawanya majira, na jua hutambua wakati wake wa kutua.