Mistari ya Biblia kuhusu The Moon: Lunacy attributed to the influence of
Mistari kuhusu Lunacy attributed to the influence of
jua halitakudhuru mchana, wala mwezi wakati wa usiku.
Kwa hiyo sifa zake zikaenea sehemu zote za Shamu, nao watu wakamletea wote waliokuwa na magonjwa mbalimbali na maumivu, waliopagawa na pepo wachafu, wenye kifafa na waliopooza, naye akawaponya.