Aijalon
Anajulikana pia kama: Ajalon
31.8400, 35.0200 Tazama kwenye Ramani za Google
Mistari inayomtaja Aijalon
Katika siku ile ambayo Bwana aliwapeana Waamori kwa Israeli, Yoshua akanena na Bwana akiwa mbele ya Waisraeli akasema: “Wewe jua, simama juu ya Gibeoni, wewe mwezi, tulia juu ya Bonde la Aiyaloni.”