Mistari ya Biblia kuhusu The Mercy of God: To the afflicted
Mistari kuhusu To the afflicted
Pigeni kelele kwa furaha, enyi mbingu; furahi, ee dunia; pazeni sauti kwa kuimba, enyi milima! Kwa maana Bwana anawafariji watu wake, naye atakuwa na huruma kwa watu wake walioumizwa.
“Kwa kitambo kidogo nilikuacha, lakini kwa huruma nyingi nitakurudisha.