Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Spitting

7 mistari · 2 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Bwana akamjibu Mose, “Je, kama baba yake angemtemea usoni, asingeona aibu kwa siku saba? Mfungie nje ya kambi kwa siku saba; baada ya hapo anaweza kurudishwa kambini.”

  2. mjane wa nduguye atamwendea mbele ya wazee, atamvua kiatu kimoja na kumtemea mate usoni, na kusema, “Hivi ndivyo ambavyo hufanywa kwa mtu ambaye atakataa kuendeleza jamaa ya ndugu yake.”

  3. Wananichukia sana na kujitenga nami, wala hawasiti kunitemea mate usoni.

  4. Kisha wakamtemea mate usoni na wengine wakampiga ngumi. Wengine wakampiga makofi

  5. Wakamtemea mate, wakachukua ile fimbo wakampiga kichwani tena na tena.

  6. Baadaye Yesu akampeleka yule kiziwi kando mbali na watu, Yesu akatia vidole vyake masikioni mwa yule mtu. Kisha akatema mate na kuugusa ulimi wa yule mtu.

  7. Yesu akamshika mkono huyo kipofu akampeleka nje ya kijiji. Baada ya kuyatemea mate macho ya yule kipofu na kumwekea mikono, Yesu akamuuliza, “Unaona chochote?”