Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Spitting: In the face, as an indignity

5 mistari · 2 vipengele

Mistari kuhusu In the face, as an indignity

  1. Bwana akamjibu Mose, “Je, kama baba yake angemtemea usoni, asingeona aibu kwa siku saba? Mfungie nje ya kambi kwa siku saba; baada ya hapo anaweza kurudishwa kambini.”

  2. mjane wa nduguye atamwendea mbele ya wazee, atamvua kiatu kimoja na kumtemea mate usoni, na kusema, “Hivi ndivyo ambavyo hufanywa kwa mtu ambaye atakataa kuendeleza jamaa ya ndugu yake.”

  3. Wananichukia sana na kujitenga nami, wala hawasiti kunitemea mate usoni.

  4. Kisha wakamtemea mate usoni na wengine wakampiga ngumi. Wengine wakampiga makofi

  5. Wakamtemea mate, wakachukua ile fimbo wakampiga kichwani tena na tena.