Mistari ya Biblia kuhusu Solomon: Marries one of Pharaoh's daughters
Mistari kuhusu Marries one of Pharaoh's daughters
Solomoni akafanya urafiki na Mfalme Farao wa Misri na kumwoa binti yake. Akamleta huyo binti katika Mji wa Daudi mpaka alipomaliza kujenga jumba lake la kifalme na Hekalu la Bwana, pamoja na ukuta kuzunguka Yerusalemu.