Mistari ya Biblia kuhusu Solomon: Imports apes and peacocks
Mistari kuhusu Imports apes and peacocks
Mfalme alikuwa na meli nyingi za biashara baharini zilizokuwa zikiandamana na meli za Hiramu. Kwa mara moja kila miaka mitatu zilirudi, zikiwa zimebeba dhahabu, fedha, pembe za ndovu na nyani wakubwa na wadogo.