Mistari ya Biblia kuhusu Sanctification: Through the word of God
Mistari kuhusu Through the word of God
Uwatakase kwa ile kweli, neno lako ndilo kweli.
Kwa ajili yao najiweka wakfu ili wao nao wapate kutakaswa katika ile kweli.
kusudi alifanye takatifu, akilitakasa kwa kuliosha kwa maji katika Neno lake,