Mistari ya Biblia kuhusu Salvation: Eternal
Mistari kuhusu Eternal
Lakini Israeli ataokolewa na Bwana kwa wokovu wa milele; kamwe hutaaibika wala kutatahayarika, milele yote.
Inueni macho yenu mbinguni, mkaitazame dunia chini; mbingu zitatoweka kama moshi, dunia itachakaa kama vazi, na wakazi wake kufa kama mainzi. Bali wokovu wangu utadumu milele, haki yangu haitakoma kamwe.
na akiisha kukamilishwa, akawa chanzo cha wokovu wa milele kwa wote wanaomtii.