Mistari ya Biblia kuhusu Salvation: A horn
Mistari kuhusu A horn
Bwana ni mwamba wangu, ngome yangu na mwokozi wangu, Mungu wangu ni mwamba, ambaye kwake ninakimbilia. Yeye ni ngao yangu na pembe ya wokovu wangu, ngome yangu.
Naye ametusimamishia pembe ya wokovu katika nyumba ya Daudi mtumishi wake,