Mistari ya Biblia kuhusu Salvation: Clothing
Mistari kuhusu Clothing
“Sasa inuka, Ee Bwana Mungu,
Nitawavika makuhani wake wokovu, nao watakatifu wake watadumu wakiimba kwa furaha.
Kwa maana Bwana anapendezwa na watu wake, anawavika wanyenyekevu taji ya wokovu.
Ninafurahia sana katika Bwana, nafsi yangu inashangilia katika Mungu wangu. Kwa maana amenivika mavazi ya wokovu, na kunipamba kwa joho la haki, kama vile bwana arusi apambavyo kichwa chake kama kuhani, na kama bibi arusi ajipambavyo kwa vito vyake vya thamani.