Mistari ya Biblia kuhusu Revenge: Exercise forbearance
Mistari kuhusu Exercise forbearance
“Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Jicho kwa jicho na jino kwa jino.’
Lakini mimi nawaambia, msishindane na mtu mwovu. Lakini kama mtu akikupiga kwenye shavu la kuume, mgeuzie na la pili pia.
Kama mtu akitaka kukushtaki na kuchukua joho lako, mwachie achukue na koti pia.
Kama mtu akikulazimisha kwenda maili moja, nenda naye maili mbili.