Mistari ya Biblia kuhusu Revenge: Jews
Mistari kuhusu Jews
Waliposikia haya wakaghadhibika, wakamsagia meno.
Walipokuwa wakimpiga mawe, Stefano aliomba, “Bwana Yesu, pokea roho yangu.”
Kulipopambazuka Wayahudi wakafanya shauri pamoja na kujifunga kwa kiapo kwamba hawatakula wala kunywa mpaka wawe wamemuua Paulo.