Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Revenge: Christ an example of forbearing

2 mistari · 32 vipengele

Mistari kuhusu Christ an example of forbearing

  1. Alionewa na kuteswa, hata hivyo hakufungua kinywa chake; aliongozwa kama mwana-kondoo apelekwaye machinjoni, kama vile kondoo anyamazavyo mbele ya wao wamkataye manyoya, hivyo hakufungua kinywa chake.

  2. Yeye alipotukanwa, hakurudisha matukano; alipoteswa, hakutishia, bali alijikabidhi kwa yeye ahukumuye kwa haki.