- English
- King James KJV
- Complete Jewish CJB
- World English WEBM
- Berean Standard BSB
- American Standard ASV
- Geneva GNV
- Young's Literal YLT
- Douay-Rheims DRC
- International
- Shqip ALB
- العربية SVD
- বাংলা BN-IRV
- မြန်မာ Judson
- 简体文 CUV-S
- 繁體中文 CUV-T
- Čeština BKR
- Nederlands STVE
- Français LSG
- Deutsch SCH
- Ελληνικά Vamvas
- ગુજરાતી GU-IRV
- Hausa HCB
- עברית Hebrew
- हिन्दी HCV
- Magyar KAROLI
- Bahasa Indonesia INDO-TB
- Italiano Diodati
- 日本語 Kougo
- 한국어 Korean
- മലയാളം MAL
- मराठी MRCV
- Norsk DNB
- فارسی OPV
- Polski BG
- Português Almeida
- Română Cornilescu
- Русский Synodal
- Español RVG
- Kiswahili Neno
- Svenska SV1917
- Tagalog TAG-ADB
- தமிழ் TCV
- తెలుగు TSA
- ภาษาไทย THAI-KJV
- Українська Ohienko
- Tiếng Việt CADMAN
- Yorùbá YCB
Mistari ya Biblia kuhusu Parables: Of a vine of Egypt
Mistari kuhusu Of a vine of Egypt
Ulileta mzabibu kutoka Misri, ukawafukuza mataifa, ukaupanda.
Uliandaa shamba kwa ajili yake, mizizi ikawa imara, ukajaza nchi.
Milima ilifunikwa kwa kivuli chake, matawi yake yakafunika mierezi mikubwa.
Matawi yake yalienea mpaka Baharini, machipukizi yake mpaka kwenye Mto.
Mbona umebomoa kuta zake ili wote wapitao karibu wazichume zabibu zake?
Nguruwe mwitu wanauharibu na wanyama wa kondeni hujilisha humo.
Turudie, Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote! Tazama chini kutoka mbinguni na uone! Linda mzabibu huu,
mche ulioupanda kwa mkono wako wa kuume, mwana uliyemlea kwa ajili yako mwenyewe.
Mzabibu wako umekatwa, umechomwa moto, unapowakemea, watu wako huangamia.