Mistari ya Biblia kuhusu Parables: Treasure hid in a field
Mistari kuhusu Treasure hid in a field
“Ufalme wa Mbinguni unafanana na hazina iliyofichwa shambani, ambayo mtu mmoja alipoiona akaificha tena. Kisha katika furaha yake, akaenda akauza vyote alivyokuwa navyo, akalinunua lile shamba.”