Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Murder: The Herods

3 mistari · 88 vipengele

Mistari kuhusu The Herods

  1. Herode alipongʼamua kwamba wale wataalamu wa nyota wamemshinda kwa akili, alikasirika sana, naye akatoa amri ya kuwaua watoto wote wa kiume wenye umri wa miaka miwili kurudi chini katika mji wa Bethlehemu na sehemu zote za jirani, kufuatana na ule muda alioambiwa na wale wataalamu wa nyota.

  2. Hivyo akaagiza Yohana Mbatizaji akatwe kichwa mle gerezani.

  3. Akaamuru Yakobo, ndugu yake Yohana, auawe kwa upanga.