Skip to content

Gibbethon

5 verses

31.9700, 35.0000 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Gibbethon

  1. Elteke, Gibethoni, Baalathi,

  2. Pia kutoka kabila la Dani wakapokea Elteke, Gibethoni,

  3. Baasha mwana wa Ahiya wa nyumba ya Isakari akafanya shauri baya dhidi yake, naye akamuua huko Gibethoni, mji wa Wafilisti, wakati Nadabu na Israeli yote walipokuwa wameuzingira.

  4. Katika mwaka wa ishirini na saba wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Zimri akatawala huko Tirsa siku saba. Jeshi lilikuwa limepiga kambi karibu na Gibethoni, mji wa Wafilisti.

  5. Ndipo Omri na Waisraeli wote pamoja naye wakaondoka Gibethoni na kuizingira Tirsa.