Mistari ya Biblia kuhusu Mountains: Are the sources of springs and rivers
Mistari kuhusu Are the sources of springs and rivers
Kwa kuwa Bwana Mungu wenu anawaleta katika nchi nzuri, nchi yenye vijito na mabwawa ya maji, yenye chemchemi zinazotiririka mabondeni na katika vilima;
yakapanda milima, yakateremka mabondeni, hadi mahali pale ulipoyakusudia.
Uliyawekea mpaka ambao hayawezi kuuvuka, kamwe hayataifunika dunia tena.
Huzifanya chemchemi zimwage maji mabondeni, hutiririka kati ya milima.