Mistari ya Biblia kuhusu Missionary Work By Ministers: Harmony should subsist amongst those engaged in
Mistari kuhusu Harmony should subsist amongst those engaged in
Basi, Yakobo, Kefa na Yohana, walioonekana kama nguzo za kanisa, walitupa mkono wa shirika, mimi na Barnaba walipotambua ile neema niliyopewa. Wakakubali kwamba sisi twende kwa watu wa Mataifa na wao waende kwa Wayahudi.