Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Ministers: Are rewarded

5 mistari · 118 vipengele

Mistari kuhusu Are rewarded

  1. Amin, nawaambia, atamweka mtumishi huyo kuwa msimamizi wa mali yake yote.

  2. Kama kile alichojenga kitabaki, atapokea thawabu yake.

  3. Nikihubiri kwa hiari, ninayo thawabu. Lakini kama si kwa hiari, basi ninachofanya ni kutekeleza tu uwakili niliowekewa.

  4. Basi je, thawabu yangu ni nini? Thawabu yangu ni hii: Ya kwamba katika kuhubiri Injili niitoe bila gharama, bila kutumia kwa utimilifu uwezo wangu nilio nao katika Injili.

  5. Naye Mchungaji Mkuu atakapodhihirishwa, mtapokea taji ya utukufu isiyoharibika.