Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Micah

12 mistari · 5 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Mefiboshethi alikuwa na mwanawe mdogo aliyeitwa Mika, nao watu wote wa nyumba ya Siba walikuwa watumishi wa Mefiboshethi.

  2. Mika mwanawe, Reaya mwanawe, Baali mwanawe,

  3. Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.

  4. Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.

  5. Yonathani akamzaa Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.

  6. Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea, na Ahazi.

  7. Wana wa Uzieli walikuwa: Mika wa kwanza na Ishia wa pili.

  8. Mwana wa Uzieli: alikuwa Mika; kutoka kwa wana wa Mika: alikuwa Shamiri.

  9. Ndugu yake Mika: alikuwa Ishia; na kutoka kwa wana wa Ishia: alikuwa Zekaria.

  10. Akatoa maagizo haya kwa Hilkia, Ahikamu mwana wa Shafani, Abdoni mwana wa Mika, Shafani mwandishi na Asaya mtumishi wa mfalme,

  11. Lakini ninyi wapenzi, kumbukeni yale mitume wa Bwana Yesu Kristo waliyonena zamani.

  12. Kwa kuwa waliwaambia, “Siku za mwisho kutakuwa na watu wenye kudhihaki, watakaofuata tamaa zao wenyewe za upotovu.”