Skip to content

Micah

8 mistari · 5 wanafamilia

Anajulikana pia kama: Micha

Mistari inayomtaja Micah

  1. Hao watu walipoingia katika nyumba ya Mika na kuchukua ile sanamu ya kuchonga, ile naivera, na zile sanamu nyingine ndogo za nyumbani, pamoja na ile sanamu ya kusubu, yule kuhani akawauliza, “Mnafanya nini?”

  2. Walipokuwa wamesafiri umbali kidogo toka nyumbani kwa Mika, watu walioishi karibu na Mika wakaitwa wakakusanyika pamoja, nao wakawafikia Wadani.

  3. Wakaisimamisha na kuiabudu hiyo sanamu ya kuchonga ya Mika aliyokuwa ameitengeneza, wakati wote ule nyumba ya Mungu ilipokuwa huko Shilo.

  4. Mefiboshethi alikuwa na mwanawe mdogo aliyeitwa Mika, nao watu wote wa nyumba ya Siba walikuwa watumishi wa Mefiboshethi.

  5. Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.

  6. Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.

  7. Yonathani akamzaa Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.

  8. Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea, na Ahazi.