Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Judgments: Disobedience to God

3 mistari · 91 vipengele

Mistari kuhusu Disobedience to God

  1. “ ‘Lakini kama hamtanisikiliza na kutimiza maagizo haya yote,

  2. nanyi kama mtazikataa amri zangu na kuzichukia sheria zangu, tena mkishindwa kutimiza amri zangu na hivyo mkavunja agano langu,

  3. ndipo nitakapowafanyia hili: Nitawaletea juu yenu hofu ya ghafula, magonjwa ya kufisha, na homa itakayopofusha macho yenu na kuwaondolea uhai wenu. Mtapanda mbegu bila mafanikio, kwa sababu adui zenu wataila.