Mistari ya Biblia kuhusu Judgments: Disobedience to God
Mistari kuhusu Disobedience to God
“ ‘Lakini kama hamtanisikiliza na kutimiza maagizo haya yote,
nanyi kama mtazikataa amri zangu na kuzichukia sheria zangu, tena mkishindwa kutimiza amri zangu na hivyo mkavunja agano langu,
ndipo nitakapowafanyia hili: Nitawaletea juu yenu hofu ya ghafula, magonjwa ya kufisha, na homa itakayopofusha macho yenu na kuwaondolea uhai wenu. Mtapanda mbegu bila mafanikio, kwa sababu adui zenu wataila.