Mistari ya Biblia kuhusu Joktan: Son of Eber.
Mistari kuhusu Son of Eber.
Eberi akapata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake ndipo dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
Yoktani alikuwa baba wa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,