Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Covenants: Selling land

3 mistari · 31 vipengele

Mistari kuhusu Selling land

  1. Efroni akamjibu Abrahamu,

  2. “Nisikilize, bwana wangu, thamani ya ardhi hiyo ni shekeli 400 za fedha, lakini hiyo ni nini kati yako na mimi? Mzike maiti wako.”

  3. Abrahamu akakubali masharti ya Efroni, akampimia ile fedha aliyotaja masikioni mwa Wahiti: Shekeli 400 za fedha kulingana na viwango vya uzito vilivyokuwa vikitumika wakati huo na wafanyabiashara.