Mistari ya Biblia kuhusu Covenants: Of God's promises to man
Mistari kuhusu Of God's promises to man
“Sasa mimi ninaweka Agano langu nanyi, pamoja na uzao wenu baada yenu,
pia na kila kiumbe hai kilichokuwa pamoja nanyi: Ndege, wanyama wa kufugwa na wanyama wote wa porini, wale wote waliotoka katika safina pamoja nanyi, kila kiumbe hai duniani.
Ninaweka Agano nanyi: Kamwe uhai hautafutwa tena kwa gharika, kamwe haitakuwepo tena gharika ya kuangamiza dunia.”