Skip to content

Beeroth

6 verses · 2 known names

Anajulikana pia kama: Beerothite

31.9000, 35.2100 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Beeroth

  1. Ndipo wana wa Israeli wakasafiri na siku ya tatu wakafika kwenye miji yao ya Gibeoni, Kefira, Beerothi na Kiriath-Yearimu.

  2. Gibeoni, Rama na Beerothi,

  3. Basi mwana wa Sauli alikuwa na watu wawili waliokuwa viongozi wa vikundi vya uvamizi. Mmoja aliitwa Baana na mwingine Rekabu, waliokuwa wana wa Rimoni, Mbeerothi, kutoka kabila la Benyamini. Beerothi alihesabiwa kuwa sehemu ya Benyamini,

  4. Seleki, Mwamoni; Naharai, Mbeerothi, aliyekuwa mbeba silaha za Yoabu mwana wa Seruya;

  5. wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743

  6. watu wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743