Skip to content

Zoan

7 verses

30.9700, 31.8800 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Zoan

  1. Wakapanda kupitia Negebu hadi wakafika Hebroni, mahali ambapo Ahimani, Sheshai na Talmai, wazao wa Anaki, waliishi. (Hebroni ulikuwa umejengwa miaka saba kabla ya mji wa Soani ulioko Misri.)

  2. Alitenda miujiza machoni mwa baba zao, huko Soani, katika nchi ya Misri.

  3. siku aliyoonyesha ishara zake za ajabu huko Misri, maajabu yake huko Soani.

  4. Maafisa wa Soani ni wapumbavu kabisa, washauri wa Farao wenye busara wanatoa ushauri wa kijinga. Unawezaje kumwambia Farao, “Mimi ni mmojawapo wa watu wenye hekima, mwanafunzi wa wafalme wa zamani”?

  5. Maafisa wa Soani wamekuwa wapumbavu, viongozi wa Memfisi wamedanganyika, walio mawe ya pembe ya taifa lake wameipotosha Misri.

  6. Ingawa wana maafisa katika Soani na wajumbe wamewasili katika Hanesi,

  7. Nitaifanya Pathrosi kuwa ukiwa na kuitia moto Soani, nami nitaipiga kwa adhabu Thebesi