- English
- King James KJV
- Complete Jewish CJB
- World English WEBM
- Berean Standard BSB
- American Standard ASV
- Geneva GNV
- Young's Literal YLT
- Douay-Rheims DRC
- International
- Shqip ALB
- العربية SVD
- বাংলা BN-IRV
- မြန်မာ Judson
- 简体文 CUV-S
- 繁體中文 CUV-T
- Čeština BKR
- Nederlands STVE
- Français LSG
- Deutsch SCH
- Ελληνικά Vamvas
- ગુજરાતી GU-IRV
- Hausa HCB
- עברית Hebrew
- हिन्दी HCV
- Magyar KAROLI
- Bahasa Indonesia INDO-TB
- Italiano Diodati
- 日本語 Kougo
- 한국어 Korean
- മലയാളം MAL
- मराठी MRCV
- Norsk DNB
- فارسی OPV
- Polski BG
- Português Almeida
- Română Cornilescu
- Русский Synodal
- Español RVG
- Kiswahili Neno
- Svenska SV1917
- Tagalog TAG-ADB
- தமிழ் TCV
- తెలుగు TSA
- ภาษาไทย THAI-KJV
- Українська Ohienko
- Tiếng Việt CADMAN
- Yorùbá YCB
ZAINI: Faraja Katika Taabu Kupitia Ahadi ya Mungu
Zaburi 119:49-56
49
Kumbuka neno lako kwa mtumishi wako, kwa sababu umenipa tumaini.
50
Faraja yangu katika mateso yangu ni hii: Ahadi yako inahifadhi maisha yangu.
51
Wenye majivuno wamenisimanga bila kuchoka, hata hivyo sitaiacha sheria yako.
52
Ee Bwana, ninazikumbuka sheria zako za zamani, nazo zinanifariji.
53
Nimeshikwa sana na ghadhabu kwa ajili ya waovu, ambao wameacha sheria yako.
54
Maagizo yako ni kiini cha nyimbo zangu popote ninapoishi.
55
Ee Bwana, wakati wa usiku ninalikumbuka jina lako, nami nitatii sheria yako.
56
Hili limekuwa zoezi langu: nami ninayatii mausia yako.
Settings