- English
- King James KJV
- Complete Jewish CJB
- World English WEBM
- Berean Standard BSB
- American Standard ASV
- Geneva GNV
- Young's Literal YLT
- Douay-Rheims DRC
- International
- Shqip ALB
- العربية SVD
- বাংলা BN-IRV
- မြန်မာ Judson
- 简体文 CUV-S
- 繁體中文 CUV-T
- Čeština BKR
- Nederlands STVE
- Français LSG
- Deutsch SCH
- Ελληνικά Vamvas
- ગુજરાતી GU-IRV
- Hausa HCB
- עברית Hebrew
- हिन्दी HCV
- Magyar KAROLI
- Bahasa Indonesia INDO-TB
- Italiano Diodati
- 日本語 Kougo
- 한국어 Korean
- മലയാളം MAL
- मराठी MRCV
- Norsk DNB
- فارسی OPV
- Polski BG
- Português Almeida
- Română Cornilescu
- Русский Synodal
- Español RVG
- Kiswahili Neno
- Svenska SV1917
- Tagalog TAG-ADB
- தமிழ் TCV
- తెలుగు TSA
- ภาษาไทย THAI-KJV
- Українська Ohienko
- Tiếng Việt CADMAN
- Yorùbá YCB
Maombolezo 3:43-53
43
“Umejifunika mwenyewe kwa hasira na kutufuatilia; umetuchinja bila huruma.
44
Unajifunika mwenyewe kwa wingu, ili pasiwe na ombi litakaloweza kupenya.
45
Umetufanya takataka na uchafu miongoni mwa mataifa.
46
“Adui zetu wote wamefumbua vinywa vyao wazi dhidi yetu.
47
Tumeteseka kwa hofu kuu na shida ya ghafula, uharibifu na maangamizi.”
48
Vijito vya machozi vinatiririka kutoka machoni mwangu, kwa sababu watu wangu wameangamizwa.
49
Macho yangu yatatiririka machozi bila kukoma, bila kupata nafuu,
50
hadi Bwana atazame chini kutoka mbinguni na kuona.
51
Lile ninaloliona huniletea huzuni nafsini kwa sababu ya wanawake wote wa mji wangu.
52
Wale waliokuwa adui zangu bila sababu wameniwinda kama ndege.
53
Walijaribu kukomesha maisha yangu ndani ya shimo na kunitupia mawe;
Settings